11 Mei 2023

Malezi duni, kujitukuza, kiburi na majivuno yanachukuliwa kuwa ni kiingilio na sababu ya kisaikolojia ya kukubali mawazo ya watu wenye msimamo mkali.

Kwa nini malezi duni, kujitukuza, kiburi na majivuno yanachukuliwa kuwa ni kiingilio na sababu ya kisaikolojia ya kukubali mawazo ya watu wenye msimamo mkali? Na upi ufunbuzi kwa hilo?

Soma zaidi....
22 Julai 2019

Kusitisha Tawafu ya Kaaba kwa Ajili ya Kusimamisha Swala ya Fardhi.

 Swala inapokimiwa wakati mimi nikiwa bado ninalizunguka Kaaba, Je, inajuzu kwangu kuisitisha tawafu, au ninatakiwa kuikamilisha kisha nisimamishe Swala? Ikiwa hukumu ni kuikata, kisha Swala ikawa imekwishaswaliwa, Je, n...

Soma zaidi....
29 Oktoba 2023

Kazi ya Wanachuoni

Je, inapaswa kuwauliza Wanachuoni katika masuala yote, ama inawezekana kwa mtu ajiulize na kufuata aliyoyasoma?

Soma zaidi....
07 Machi 2023

Tofauti kati ya mapenzi wanayodai wenye itikadi kali na mapenzi ya Waislamu kwa Mtume S.A.W.

Ni ipi Tofauti kati ya mapenzi wanayodai wenye itikadi kali na mapenzi ya Waislamu kwa Mtume S.A.W. 

Soma zaidi....
21 Agosti 2022

Sijda ya kisomo

Ni nini cha kusemwa wakati wa kusoma au kusikia Aya ya sijda katika Qur’ani Tukufu katika hali ambayo mtu hawezi kuitekeleza mara moja?

Soma zaidi....

Taarifa ya utume

Tunatoa mwongozo unaofaa, wa kisayansi ili Waislamu waweze kutekeleza imani yao katika nyakati zinazobadilika

Liyopendekezwa zaidi