Nina rafiki yangu, asilimia kubwa ya mali yake ameipata kwa kazi za haramu, na nimekuwa nikimsihi na kumpa mawaidha mapaka ametubu kwa fadhila za Mwenyezi Mungu, na sasa anataka kwenda Hija kwa sehemu ya mali yake hiyo, je, kunajuzu kwake kuhiji kwa Mali ya Haramu?
Soma zaidi....
Nataka kujua hukumu ya kisharia kwa mtu aliyekwenda Hija, na akatia nia ya umra kwa niaba ya mama yake aliyefariki, na nia ya Hija kwa niaba ya baba yake aliyefariki, na mwaka wa pili akafanya kinyume, kwa maana akatia nia ya Hija kwa niaba ya mama yake aliyefariki na umra kwa niaba ya baba yake aliyefariki, je, hili linafaa?
Soma zaidi....
Arabic
Englsh
French
Deutsch
Urdu
Pashto
Hausa
