Saumu ya Mwenye Hedhi

Je, inajuzu kwa mwenye hedhi kula na kunywa katika mchana wa Ramadhani, au atosheke na kula pamoja na kunywa kidogo na kisha ajizuie siku nzima, kwa ajili ya kuheshimu utukufu wa Ramadhani?

Soma zaidi....

Kuota Katikati ya Funga

Assalaamu Alaiykum .. Ningependa kujua, je, Funga inaharibika kwa mtu kupatwa na janaba akiwa amelala bila ya kukusudia, na hii kwa ndoto inayomjia mwanadamu au vitu vingine vibaya vinavyosababishwa na Shetani.

Soma zaidi....

Hukumu ya Kutumia Kipulizia Pumu (Dawa ya Pumu) kwa mwenye Saumu

Nini Hukumu ya matumizi ya Kipulizia pumu katika Saumu?

Soma zaidi....