Kuota Katikati ya Funga

Egypt's Dar Al-Ifta

Kuota Katikati ya Funga

Question

Assalaamu Alaiykum .. Ningependa kujua, je, Funga inaharibika kwa mtu kupatwa na janaba akiwa amelala bila ya kukusudia, na hii kwa ndoto inayomjia mwanadamu au vitu vingine vibaya vinavyosababishwa na Shetani.

Answer

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, na rehma na amani zimwendee bwana wetu Mtume wa Mwenyezi Mungu, jamaa zake, Maswahaba wake na wanaomfuata. Na baada ya hayo:

Hapana ndugu muulizaji … kuota katika ya funga hakuharibu funga, mwanadamu anachotakiwa akiamka aoge ili apate kuswali, na hata kama atachelewa kuoga mpaka Magharibi, basi funga yake ni sahihi pia.

Na Mwenyezi Mungu Mtukufu ni Mjuzi Zaidi

Share this:

Related Fatwas