Mauzo ya awamu

Egypt's Dar Al-Ifta

Mauzo ya awamu

Question

Je, inaruhusiwa kuuza kwa awamu ikiwa bidhaa hazipatikani kwa muuzaji?

Answer

Muamala huu kwa hakika ni “Uuzaji wa Murabaha” uliobainishwa na Imamu Al-Shafi katika kitabu chake “Al-Ummu”; maelezo yake ni: “Mtu anaonesha mtu mwingine bidhaa hiyo na kusema: Nunua hii nami nitakufanyia faida hivi na hivi. Uuzaji wa Murabaha kwa namna hii unaruhusiwa kwa mujibu wa Sharia ya Kiislamu na hakuna ubaya wowote.

Share this:

Related Fatwas