Kufurahia ugonjwa

Egypt's Dar Al-Ifta

Kufurahia ugonjwa

Question

Je, ni ipi hukumu ya mtu anayefurahia ugonjwa wa mtu mwingine?

Answer

Kufurahi juu ya masaibu na mitihani inayowapata wengine - ikiwa ni pamoja na kifo - sio maadili mema, na mwenye kufurahia kifo atakufa kama wengine wamekufa? Je, mtu angefurahi akiambiwa: Fulani anafurahia kufa kwako?! Mtume (S.A.W) amesema: “Usioneshe kumchekelee ndugu yako kwa bezo, basi Mwenyezi Mungu asije kumsamehe yeye na akakujaribu wewe”. Hadithi hii imepokelewa kutoka kwa At-Tirmidhi. Kufurahi na kustarehesha katika mateso yanayompata mtu - vyovyote iwavyo - ni kinyume na maadili ya kinabii yenye kuheshimika na utu wema wa mwanadamu, na misiba inapotokea, ni lazima kuzingatia na mawaidha, bila kufurahishwa na mateso ya watu.

Share this:

Related Fatwas