Kusherehekea Sham El-Nassim

Nini hukumu ya kisharia ya kusherehekea Sham El-Nassim?

Soma zaidi....

Kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume, kunema katika vikao vya dhikri, na kuwaita mawalii kwa jina la “Bwana Wangu” (sayyid)

Baadhi ya Wahubiri wa Swla ya Ijumaa katika mji wetu walidai kwamba:

1- Kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ni haramu.

2- Kutembea kwa maandamano, kubeba bendera, na kupiga matari kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume ni haramu.

3- Kufanya mikesha ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ni haramu.

4- Kununua na kutoa peremende katika siku ya kuzaliwa Mtume ni haramu.

5- Kusimama katika mizunguko ya dhikri na kunema ndani yake ni haramu.

6- Kuita jina la "bwana wangu" kwa vipenzi vya Mwenyezi Mungu ni haramu.

Je, ni ipi hukumu juu ya hilo?

Soma zaidi....