Sijida ya Kisomo

Kipi kinasemwa wakati wa kusoma au kusikia sehemu ya kuleta sujudu ya kisomo ndani ya Qurani Tukufu katika hali ya kutokuwa na uwezo wa kutekeleza kwa haraka?

Soma zaidi....

Kufuta uso baada ya duwa.

Ipi hukumu ya kufuta uso kwa mikono miwili baada ya dua ambapo kuna wanaosema kuwa huo ni uzushi unaochukiza?

Soma zaidi....

Kusoma Bismillah wakati wa kula chakula

Ipi hukumu ya kusoma Bismillah wakati wa kuanza kula chakula? Na ipi hukumu ya mwenye kusahamu na akakumbuka katikati ya kula?

Soma zaidi....

Yanayosemwa wakati wa kuchanganyikiwa.

Ni yapi mwanadamu anaweza kusema wakati wa kutokewa na hali ya kuchanganyikiwa kutokana na hali ya tetemeko na mfano wake?

Soma zaidi....