Ishara ya Yusuf

Egypt's Dar Al-Ifta

Ishara ya Yusuf

Question

Nataka kujua ni ishara gani aliyoiona bwana wetu Yusuf, A.S. katika Aya hii: “Na hakika yule mwanamke alimtamani, na Yusuf angeli mtamani lau kuwa hakuona ishara ya Mola wake Mlezi.” Basi ni nini ishara hii? Asante sana 

Answer

 Wafasiri wamekhitalifiana juu ya nini ishara hii, baadhi yao wakasema kuwa ni maana ambayo Mwenyezi Mungu ameiweka juu ya moyo wake, basi kitendo hiki kilikuwa ni cha kulaumiwa kwake, hivyo akajiepusha nacho

Share this:

Related Fatwas