Unyonyaji wa Mkubwa na Upi Ukweli w...

Egypt's Dar Al-Ifta

Unyonyaji wa Mkubwa na Upi Ukweli wa Mkojo wa Mtume.

Question

  Ni upi ukweli wa kumnyonyesha mkubwa na kutafuta baraka kwenye mkojo wa Mtume? Nategemea jibu la kutosheleza kwa sababu swali hili linatoka kwa rafiki yangu ambaye sio Muislamu

Answer

 Kwa jina la Mwenyezi Mungu, sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, na rehma na amani zimwendee bwana wetu Mtume wa Mwenyezi Mungu, jamaa zake, masahaba wake na wanaomfuata, na baada ya hayo:
Kwanza: Tukio la kunyonya mkubwa lilikuwa ni tukio maalumu kwa mtu ambaye amepokea Hadithi kuhusu yeye, na haya ndio madhehebu ya Jamhuri ya Wanachuoni.
Kwani maudhui ya Ibn yalikuwa ni sehemu kubwa ya mfumo wa kijamii katika zama hii.
Ambaye anapinga kwenye tukio hili katika watu wengi ni kumgusa mwanamke bali na kugusa hii sehemu maalumu ambayo haifai kuoneshwa na kuonekana kuongezea pia kuigusa, na ufahamu wa Hadithi haulazimishi ufahamu huu bali anaweza kukamua haya maziwa kwenye chombo na akanywa kama alivyosema Imamu An-Nawawy Mwenyezi Mungu amrehemu hakuna kwenye Hadithi ufunuaji wa tupu unaodhaniwa na akili za baadhi ya watu.
Jambo la Pili: Kutafuta baraka kwa mkojo wa Mtume S.A.W
Mtume S.A.W ni mtu twahara kwa makubaliano ya Waislamu wote, tukio hili ambalo limeelezewa kwenye Hadithi limenukuliwa kwa upokezi hasan ndani ya vitabu vya Sunna, na jambo hili haliendani na kitendo wala Fat’wa katika zama zetu hizi.

Share this:

Related Fatwas