Kusoma Qur`ani bila ya kutawadha

Egypt's Dar Al-Ifta

Kusoma Qur`ani bila ya kutawadha

Question

Je, inajuzu kusoma Qur'ani bila ya kutawadha?

Answer

Jibu: Hakuna pingamizi la kisheria kusoma Qur’ani bila ya kutawadha, na inapendeza kutoigusa karatasi za Qur’ani bila ya kutawadha. Kwa mujibu wa kauli ya Mwenyezi Mungu Mtukufu: ﴾Hapana akigusaye ila walio takaswa} [Al-Waqi`ah: 79], kinyume na Qur’ani ya kielektroniki; Hakuna aibu katika kuigusa bila ya kutawadha; Kwa sababu Hukumu za Qur’ani hazihusiana na  Qur’ani ya kielektroniki kwa mujibu wa Sheria.

Na Mwenyezi Mungu pekee ndiye anayejua zaidi.

Share this:

Related Fatwas