Kusoma Qur`ani bila ya kutawadha

Egypt's Dar Al-Ifta

Kusoma Qur`ani bila ya kutawadha

Question

Je, inajuzu kusoma Qur`ani bila ya kutawadha?

Answer

Jibu: Hakuna pingamizi la kisharia kusoma Qur`ani bila ya kutawadha, na inapendekezwa kutoigusa karatasi ya Qur`ani bila ya kutawadha. Kwa mujibu wa Aya hii ya Mwenyezi Mungu Mtukufu isemayo: “Hapana akigusaye ila waliotakaswa” [Al-Waqi’ah: 79], kinyume na Qur’ani ya kielektroniki; Hakuna ubaya kuigusa bila ya kutawadha. Kwa sababu masharti ya Qur`ani hayaihusu kwa mujibu wa sharia ya Kiislamu.

Na Mwenyezi Mungu ndiye anayejua zaidi.

Share this:

Related Fatwas