Kuulizwa watu elimu

Egypt's Dar Al-Ifta

Kuulizwa watu elimu

Question

Upi mtazamo wa magaidi katika elimu na Wanachuoni?

Answer

Mfumo wa Mtume S.A.W. ambao ameutengeneza unaimarisha nafsi za wafuasi wake kutofahamu yaliyopinduliwa katika dini na kuyafanyia kazi,  bali kutojikweza kwa viumbe kwa ufahamu, kwani Masahaba walikuwa pindi linapoletwa jambo kwa mmoja wao hulikimbia hilo jambo kwa kuhofia kusema katika dini jambo asilo na elimu nalo.

Pamoja na hayo tunakuta watu wa fikra za kigaidi pindi wanapofahamisha maana katika maana za jambo au kutekeleza kazi miongoni mwa kazi tunawakuta wanaamini kuwa walichofahamu ndio haki na ufahamu mwingine, tunawakuta wanamsimamo wa kibaguzi wa ufahamu huu zaidi ya ubaguzi wa wafuasi wa madhehebu ya Maimamu wao, hugeuza jambo na kuwa vita na mapigano pamoja na umwagaji damu na kuleta uharibifu ardhini.

Hakuna shaka kuwa tiba ya hilo ipo katika kuwarejea watu wenye elimu ambao wamepewa funguo za ufahamu katika dini ya Mwenyezi Mungu, ambao wamemiliki mifumo na kuimarisha kwao kile kinachoitwa Ufalme, ambao unawafanya kuwa ni watu wa mtazamo wa Kisharia katika maandiko, Mwenyezi Mungu Anasema: {Na lau kuwa wangelilipeleka kwa Mtume na kwa wenye mamlaka kati yao, wale wanao chunguza wangeli lijua. Na lau kuwa sifadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake mngeli mfuata Shetani ila wachache tu miongoni mwenu} An-Nisaai: 83.

Share this:

Related Fatwas