Tohara/Hitani kwa Wanawake

Egypt's Dar Al-Ifta

Tohara/Hitani kwa Wanawake

Question

Ni ipi hukumu ya tohara/hitani kwa wanawake?

Answer

Vitendo vinavyofahamika kama “Hitani/ tohara kwa Wanawake” ni haramu Kisharia na haramu kikanuni, wala haifai kusaidia vitendo hivyo kwa hali yeyote ile hii ni kutokana na kuthibiti madhara yake mabaya kiafya, kisaikolojia na kijamii, kisha ni haramu kwa daktari au mtu mwingine yoyote kuvifanya au kusaidia.

Mwenyezi Mungu Mtukufu Anajua Zaidi.

Share this:

Related Fatwas