Hukumu ya kusherehekea siku maalumu...

Egypt's Dar Al-Ifta

Hukumu ya kusherehekea siku maalumu ya upendo

Question

Ni nini hukumu ya kuhusisha siku iwe sikukuu ya upendo? Tunaomba jibu lililo wazi kuhusu suala hilo!

Answer

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, na rehma na amani zimwendee bwana wetu Mtume wa Mwenyezi Mungu, jamaa zake, Maswahaba wake na wanaomfuata. Na baada ya hayo:

Watu kutenga siku maalumu kwa ajili ya kufufua upendo wa halali kati ya waume na wake siyo jambo haramu kisharia, kwani hakuna katika Sharia ya Kiislamu kilichokataza hilo. Hata hivyo, haifai kuuita “sikukuu”, bali inaweza kuitwa kwa mfano: “Siku ya Upendo”.

Na Mwenyezi Mungu Mtukufu ni Mjuzi Zaidi

Share this:

Related Fatwas