Upotoshaji wa Biblia

Egypt's Dar Al-Ifta

Upotoshaji wa Biblia

Question

 Je, niwajibuje wale wanaosema kuwa Biblia haijapotoshwa na kwamba Mtume, S.A.W., alimuoa Bibi Maria Mkoptiki, na aliamini imani zote ambazo Wakristo wanasema leo kuhusu Bwana Issa

Answer

 Shukrani zote ni za Mwenyezi Mungu peke yake, rehema na amani zimwendee Mtume wa mwisho naye ni Mtume Muhammad S.A.W pamoja na watu wa nyumbani kwake na Masahaba zake na mwenye kumfuata kwa wema mpaka Siku ya Malipo.
Kwanza: Neno la Mkoptiki halimaanishi Mkristo jinsi lilivyotokea katika swali lako, bali linamaanisha Mmisri. Ni dhahiri kwamba matamshi kati ya neno la Mkoptiki na neno la Kiingereza Mmisri yanafanana. Mtume S.A.W. alimuoa Bibi Maria baada ya kusilimu na kuwa Muislamu mwema.
Pili: Suala la Biblia Tafadhali upitie vyanzo hivi ili kuthibitisha yale ambayo wanazuoni wa Kiislamu na wasio Waislamu wameyasema sawa kuhusu suala la kusambaza Biblia “Qisit Al-Hadharah” kwa mwandishi Will Durant 11/208” “Muhadharat Fi An-Nasraniyah kwa Sheikh Abu. Zahra uk.41, 46”.

 

 

 

Share this:

Related Fatwas