Kulipa deni ikiwa ni dhahabu.

Egypt's Dar Al-Ifta

Kulipa deni ikiwa ni dhahabu.

Question

Nilichukuwa kwa mmoja wa rafiki zangu baadhi ya vitu vya dhahabu kwa njia ya mkopo ni muda mrefu umepita ni vipi namrudishia hivi sasa?

Answer

Anapaswa mwenye kudaiwa dhahabu ambayo alichukuwa kwa mdai kulipa dhahabu kwa kiwango hicho hicho na aina hiyo hiyo aliyochukuwa, au alipe thamani yake wakati wa kurejesha ikiwa watakubaliana iwe hivyo.

Share this:

Related Fatwas