Kutoa Zaka.

Egypt's Dar Al-Ifta

Kutoa Zaka.

Question

Je inafaa kutoa Zaka kwa awamu ndani ya kipindi cha mwaka?

Answer

Masuala yanafaa Kisharia kutoa Zaka kwa awamu ndani ya kipindi cha mwaka mzima baada ya mali kutimiza mwaka na kufikia kiwango cha kutolewa zaka kwa watu anaowafahamu miongoni mwa wanaostahiki ambao wanahitaji ili kukidhi mahitaji yao kwa kila mwezi, pamoja na kuzingatia kutofika mwaka mwengine isipokuwa awe ameshaitoa yote.

Share this:

Related Fatwas