Kusoma Suratul Ssajda na Suratul Al-Insanu katika swala ya alfajiri ya siku ya Ijumaa
Question
Ipi hukumu ya kudumu kusoma Suratul Sajda na Al-Insanu katika swala ya alfajiri siku ya Ijumaa?
Answer
Kudumu kusoma Suratul Sajda na Suratul Al-Insanu katika swala ya alfajiri ya siku ya Ijumaa ni katika Sunna ambayo Mtume S.A.W alikuwa akiifanya na kudumu nayo.
Mwenyezi Mungu Anajua zaidi.
Arabic
Englsh
French
Deutsch
Urdu
Pashto
Hausa
