Kusoma Suratul Ssajda na Suratul Al...

Egypt's Dar Al-Ifta

Kusoma Suratul Ssajda na Suratul Al-Insanu katika swala ya alfajiri ya siku ya Ijumaa

Question

Ipi hukumu ya kudumu kusoma Suratul Sajda na Al-Insanu katika swala ya alfajiri siku ya Ijumaa?

Answer

Kudumu kusoma Suratul Sajda na Suratul Al-Insanu katika swala ya alfajiri ya siku ya Ijumaa ni katika Sunna ambayo Mtume S.A.W alikuwa akiifanya na kudumu nayo.

Mwenyezi Mungu Anajua zaidi.

Share this:

Related Fatwas