Uonevu.

Egypt's Dar Al-Ifta

Uonevu.

Question

Nini hukumu ya uonevu?

Answer

Sharia ya Kiislamu imekuja ili kumlinda mwanadamu na kumuepushia kila kinachoweza kumsababishia madhara, na kwa hivyo ikaharamisha kero na maudhi ya aina zote na namna zote, ikiwa ni pamoja na vitendo vya uonevu ambavyo vinakusanya kero na maudhui mbalimbali ya nafsi na mwili vinavyotokana na vitendo vya uonevu, ambavyo kwa sababu yake vinaleta madhara kwa mwenye kuonewa, kwani aina zote za vitendo vya dharau na kucheza shere ni dhambi Kisharia na haramu kisheria, hilo ni kutokana na kuwa ndani yake na kero pamoja na madhara, kuongezea pia hatari zake kwa usalama wa jamii.

Share this:

Related Fatwas