Kutoa Zake ya chakula na madawa ya ...

Egypt's Dar Al-Ifta

Kutoa Zake ya chakula na madawa ya tiba.

Question

Ipi hukumu ya kutoa Zaka ya chukula na madawa kwa kutosheleza wenye kuhitaji?

Answer

Kisharia inafaa kutoa Zaka ya mali ili kuwatosheleza mafakiri na masikini kwa kuwakamilishia wanayohitaji miongoni mwa madawa ya tiba au vifaa, kwa sababu pamoja na kuwa asili ni kuwa katika jumla ya mali inayowajibika na Zaka, tofauti na makusudio makuu ya zaka ni kukidhi mahitaji ya masikini na wenye kuhitaji, na kila inapokuwa mali ya kutolewa zaka inakubaliana sana na mahitaji yao na kuwanufaisha, hilo linakuwa lipo karibu zaidi kufikia makusudio ya zaka.

Share this:

Related Fatwas