Hukumu ya kutembelea (kuzuru) makaburi siku ya Idi

Ni ipi hukumu ya kutembelea (kuzuru) makaburi siku ya Idi? Na ni ipi hukumu ya mwanamke mwenye hedhi kwenda makaburini?

Soma zaidi....

Kuzuru Makaburi ya watu wema

Ni ipi hukumu ya kisharia kuhusu kuzuru makaburi ya Ahlu Al-Bayt (familia ya Mtume) na watu wema? Na ipi hukumu ya anayedai kuwa kuzuru (makaburi)  ni uzushi (bid'ah) na ushirikina?

Soma zaidi....

Kumwombea dua marehemu kwa kusema: "Ee Mwenyezi Mungu, mjaalie makazi yake kuwa Peponi"

Ni hukumu gani katika kmwuombea dua marehemu kwa kauli: "Ee Mwenyezi Mungu, mjaalie makazi yake kuwa Peponi"? Watu wengine hudai kwamba neno "makazi" (MATHWA) ni maalumu kwa Jehanamu na adhabu, na kwamba maneno "sehemu pa kupumzika (Mustaqar) "  na "mafikio (Al- Maawaa)" ni maalumu kwa Pepo na Neema.

Soma zaidi....

Kutoa khutba kabla ya mazishi na kaburini baada ya kuzikwa

Ni ipi hukumu ya kutoa khutba kabla ya swala na pia kwenye kaburi baada ya kuzikwa?

Soma zaidi....

Kusimama kwa ajili ya Zeneza lipitalo

Nini hukumu ya kusimama kwa ajili ya Jeneza?

Soma zaidi....

Kuaga maiti

Ni ipi hukumu ya kuaga maiti na ni mahitaji gani yanayopendekezwa na adabu za jumla kwa hilo?

Soma zaidi....

Kuombea dua ya pamoja kwa wafu.

Ni ipi hukumu ya kumswalia maiti kwa pamoja kwenye kaburi lake?

Soma zaidi....

Kumsalimia maiti kwenye kaburi lake

Je, mtu aliyekufa anahisi kwamba kuna mtu anamtembelea na kumsalimia?

Soma zaidi....

Kuzika Maiti

Je, ni vipi vidhibiti vya kisharia vya kumzika aliyekufa?

Soma zaidi....