Maana ya kutawala kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.

Nini maana ya kutawala kwa Mwenyezi Mungu kwenye Kiti chake cha enzi? Ndani ya kauli ya Mola Mtukufu:  {Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema, aliye tawala juu ya Kiti cha Enzi} Twaha: 05.

Soma zaidi....

Israa na Miiraji.

Upi ukweli wa muujiza wa Israa na Miiraji, na ipi dalili ya kutokea kwake, na ipi hukumu ya mwenye kuupinga?

Soma zaidi....