Kulipa swala ndani ya wakati uliotakatazwa

Je Muislamu inafaa kulipa swala iliyompita ndani ya nyakati ambazo Sharia imekataza kuswali ndani ya wakati huo?

Soma zaidi....

Kumshawishi mwenye kuswali

Ipi hukumu ya kumshawishi mwenye kuswali wakati wa swala yake kama vile kumchekesha na mfano wa hayo?

Soma zaidi....

Swala ya kutubu

Ni ipi hukumu ya Swala ya kutubu? Na inaswaliwa wakati gani?

Soma zaidi....

Kuacha Kusali

Ni ipi hukumu ya kuacha Kusali?

Soma zaidi....

Jamaa ya Wanawake Katika Swala

Swala ni nguzo ya Dini. Mwenye kuisimamisha amesimamisha Dini, na mwenye kuiharibu ameiharibu Dini. Kuswali jamaa ni miongoni mwa alama za Uislamu, na miongoni mwa sifa za watu wema na waongofu. Sharia Tukufu imehimiza kwa kiwango kikubwa, na kuhimiza ifanywe; na akasema Mola Mlezi: {Na inameni pamoja na wanao inama}

Soma zaidi....

Kumsumbua mwenye kuswali

Nini hukumu ya kumsumbua mwenye kuswali wakati wa kusimamisha Swala yake, kama vile kumchekesha, kwa mfano, na mengineyo?

Soma zaidi....

Swala ya Haja

Ni ipi swala ya haja, hukumu yake na namna yake? 

Soma zaidi....

Kuswali Swala ya toba

Nini hukumu ya kuswali Swala ya toba? Na inaswaliwa wakati gani?

Soma zaidi....

Kuacha Swala

Nini hukumu ya aachaye kuswali?

Soma zaidi....

Kuswali Swala iliyopita katika wakati uliokatazwa

Je, inajuzu kwa Muislamu kuswali Swala zilizopita katika nyakati ambazo Sharia inakataza kuziswali?

Soma zaidi....

Kukusanya Swala.

Ni ipi hukumu ya kukusanya Swala kwa sababu ya kunyesha mvua?

Soma zaidi....

Kuchelewesha Swala.

Ipi hukumu ya kuchelewesha Swala ya Isha mpaka usiku wa manane.

Soma zaidi....

Hesabu ya theluthi ya usiku na nusu yake.

Namna gani huhesabiwa theluthi ya usiku na nusu yake?

Soma zaidi....