Swala ni nguzo ya Dini. Mwenye kuisimamisha amesimamisha Dini, na mwenye kuiharibu ameiharibu Dini. Kuswali jamaa ni miongoni mwa alama za Uislamu, na miongoni mwa sifa za watu wema na waongofu. Sharia Tukufu imehimiza kwa kiwango kikubwa, na kuhimiza ifanywe; na akasema Mola Mlezi: {Na inameni pamoja na wanao inama}
Soma zaidi....
Nini hukumu ya kumsumbua mwenye kuswali wakati wa kusimamisha Swala yake, kama vile kumchekesha, kwa mfano, na mengineyo?
Soma zaidi....
Je, inajuzu kwa Muislamu kuswali Swala zilizopita katika nyakati ambazo Sharia inakataza kuziswali?
Soma zaidi....