Wanawake Kuswali Swala ya jeneza Wakiwa Kundi Pekee

Naishi katika moja ya nchi za Ulaya, na rafiki yangu amefariki dunia bila kuwa na ndugu wala jamaa wanaoishi nasi katika nchi hii. Nikawakusanya rafiki zangu, tukamswalia baada ya kumwandaa kwa mazishi. Je, Swala yetu hii inakubalika? Na je, inatosha kutimiza Faradhi ya kifaya au la?

Soma zaidi....

Kupeleka chakula kwa familia ya Maiti

Jirani yetu mmoja alikufa, basi, niliamua kuwatengenezea familia yake chakula na kuwapelekea, kwani walishughulikia majonzi ya maiti wao. Ni ipi hukumu ya Kiislamu juu ya hili? Je, nitapata thawabu kwa hilo?

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, na rehma na amani zimwendee bwana wetu Mtume wa Mwenyezi Mungu, jamaa zake, Maswahaba wake na wanaomfuata. Na baada ya hayo:

Soma zaidi....

Kutangaza Kifo na Mazishi kwa Kutumia Vipaza Sauti vya Misikiti.

Katika baadhi za nchi jirani, ilikuwa ni ada kwa watu, inapotokea kifo, hutumia vipaza sauti vya Misikiti kutangaza kifo hicho kwa majirani wa marehemu. Hii ilifanyika ili idadi kubwa ya watu iweze kuhudhuria Swala ya mazishi na kutoa rambirambi. Je, Ni Nini hukumu ya jambo hili katika Uislamu?

Soma zaidi....

Wanawake kuzika mwanamke

Ni ipi hukumu ya wanawake kumzika mwanamke mwenzao?

Soma zaidi....

Taratibu ya Swala ya Jeneza.

Ipi taratibu ya Swala ya Jeneza ikiwa wanaoswaliwa ni wanaume na wanawake pamoja na watoto wadogo?

Soma zaidi....

Kuswali jamaa kwenye swala ya jeneza.

Je kuswali jamaa katika Swala ya Jeneza ni sharti?

Soma zaidi....

Marehemu kusikia wanaowatembelea makaburini, kuwasalimia na kusikia uwepo wao

Je, Marehemu wanawasikia wanaowatembelea?

Soma zaidi....

Kumwombea dua marehemu

Je, kumwombea dua marehemu huwa kwa sauti au kisiri siri?

Soma zaidi....

Uzuri wa kuwa na idadi kubwa ya wanaosalia jeneza

Je, kuna fadhila yoyote kuwa na idadi kubwa ya wanaosalia Jeneza?

Soma zaidi....

Hukumu ya kumsomea maiti baada ya kuzikwa

Ni ipi hukumu ya kumsomea maiti baada ya kuzikwa?

Soma zaidi....

Hatua za kuchukua makaburi yanapojaa

Ipi hukumu ya makaburi yanapojaa maiti, na nini tunapasa kufanya?

Soma zaidi....

Kumlaqinisha maiti na kusoma Qur’ani kaburini

Je, inajuzu kumlaqinisha maiti na kusoma Qur’ani kaburini?

Soma zaidi....

Kumzawadia Maiti thawabu za Qur’ani kwa

Je, inajuzu kwa mujibu wa Sharia ya Kiislamu Kumzawadia Maiti thawabu   za kisomo cha Qur’ani?

Soma zaidi....

Kuosha Maiti

Ipi hukumu ya Kisharia katika kushiriki asiyehitajika kwenye kuosha maiti?

Soma zaidi....

Kufanya arobaini na kumbukumbu ya mwaka.

Ipi hukumu ya kumbukumbu ya siku ya arobaini na mwaka kwa maiti?

Soma zaidi....

Kufanyia ukatili maiti

Je, kufanyia ukatili maiti inaruhusiwa?

Soma zaidi....

Ukumbusho wa siku ya arobaini na kila mwaka kwa aliyefariki

Nini hukumu ya ukumbusho unaofanywa siku ya arobaini na kila mwaka kwa aliyefariki?

Soma zaidi....

Kuomba dua ya pamoja kwa wafu

Ni nini hukumu ya kuomba dua ya pamoja kwa ajili ya maiti kwenye kaburi lake?

Soma zaidi....

Yanayofanywa wakati wa kufikwa na kifo

Ni yapi mtu anapaswa kusema wakati wa kumuona aliyefikwa na kifo?

Soma zaidi....

Kusimama juu ya kaburi baada ya kuzika.

Nini hukumu ya kusimama kwenye kaburi baada ya kuzika ili kumfanyia duwa maiti na kumuombea msamaha?

Soma zaidi....

Kutoa mawaidha wakati wa kuzika maiti.

Je inafaa kutoa mawaidha kwa waliopo wakati wa kuzika maiti?

Soma zaidi....

Kuzika Maiti

Je, ni vipi vidhibiti vya kisharia vya kumzika aliyekufa?

Soma zaidi....

Kuhudhuria Mazishi

Ni ipi hukumu ya kuhudhuria mazishi na ni yapi ya kupendeza na adabu za jumla kwa hilo?

Soma zaidi....