Naishi katika moja ya nchi za Ulaya, na rafiki yangu amefariki dunia bila kuwa na ndugu wala jamaa wanaoishi nasi katika nchi hii. Nikawakusanya rafiki zangu, tukamswalia baada ya kumwandaa kwa mazishi. Je, Swala yetu hii inakubalika? Na je, inatosha kutimiza Faradhi ya kifaya au la?
Soma zaidi....
Jirani yetu mmoja alikufa, basi, niliamua kuwatengenezea familia yake chakula na kuwapelekea, kwani walishughulikia majonzi ya maiti wao. Ni ipi hukumu ya Kiislamu juu ya hili? Je, nitapata thawabu kwa hilo?
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, na rehma na amani zimwendee bwana wetu Mtume wa Mwenyezi Mungu, jamaa zake, Maswahaba wake na wanaomfuata. Na baada ya hayo:
Soma zaidi....
Katika baadhi za nchi jirani, ilikuwa ni ada kwa watu, inapotokea kifo, hutumia vipaza sauti vya Misikiti kutangaza kifo hicho kwa majirani wa marehemu. Hii ilifanyika ili idadi kubwa ya watu iweze kuhudhuria Swala ya mazishi na kutoa rambirambi. Je, Ni Nini hukumu ya jambo hili katika Uislamu?
Soma zaidi....
Ipi taratibu ya Swala ya Jeneza ikiwa wanaoswaliwa ni wanaume na wanawake pamoja na watoto wadogo?
Soma zaidi....
Je, inajuzu kwa mujibu wa Sharia ya Kiislamu Kumzawadia Maiti thawabu za kisomo cha Qur’ani?
Soma zaidi....
Nini hukumu ya kusimama kwenye kaburi baada ya kuzika ili kumfanyia duwa maiti na kumuombea msamaha?
Soma zaidi....
Ni ipi hukumu ya kuhudhuria mazishi na ni yapi ya kupendeza na adabu za jumla kwa hilo?
Soma zaidi....
Arabic
Englsh
French
Deutsch
Urdu
Pashto
Hausa
