Bima ya Magari

Je, inaruhusiwa kisharia kuweka bima ya jumla ya magari ya kubeba mizigo kwa lengo la kupata fidia ya kifedha kwa mwenye gari likipatwa na ajali au moto au wizi?

Soma zaidi....

Kununua gari kupitia kuweka gari la kale mbadala

Je, inajuzu kununua gari kwa njia ya kuweka gari la zamani mbadala?

Soma zaidi....

Hukumu ya kuifadhili miradi kupitia Benki

Ni ipi hukumu ya kuifadhili miradi kupitia Benki?

Soma zaidi....

Hukumu ya kufadhili huduma kwa malipo ya kidogo kidogo

Je, inajuzu kufadhili huduma kwa malipo ya kidogo kidogo?

Soma zaidi....

Hukumu ya kuharibika kwa bidhaa baada kumaliza ununuzi wake na kuiacha kwa muuzaji aiweka amana

Ni ipi hukumu ya kuharibika kwa bidhaa baada kumaliza ununuzi wake na kuiacha kwa muuzaji aiweka amana?

Soma zaidi....

Hukumu ya biashara ya dawa za bima ya afya

Baadhi ya wauzaji madawa wananunua dawa zinazohusishwa kwa bima ya afya na kuziuza ndani ya maduka yao ya dawa kwa wasio na haki ya kupewa dawa hizo na nchi, ni nini hukumu ya hayo? 

Soma zaidi....

Hukumu ya kubadilisha upande wa kutumia michango

Je, inaruhusiwa kubadilisha upande wa kutumia michango?

Soma zaidi....

Mauzo ya awamu

Je, inaruhusiwa kuuza kwa awamu ikiwa bidhaa hazipatikani kwa muuzaji?

Soma zaidi....

Kudanganya katika bidhaa zilizokubaliwa kutolewa

Je, ni ipi hukumu ya kudanganya bidhaa zilizokubaliwa kutolewa katika zabuni?

Soma zaidi....

Biashara ya dawa za bima ya afya kinyume na Sharia

Baadhi ya wafamasia hununua dawa za bima ya afya na kuziuza kupitia maduka yao ya umma kwa watu tofauti na wale ambao serikali imewagawia dawa hizo je, ni ipi hukumu ya hilo?

Soma zaidi....

Kununua kwa njia ya benki.

Ipi hukumu ya kununua gari au nyumba kwa njia ya benki?

Soma zaidi....

Kuweka fedha benki

Ipi hukumu ya kuweka fedha benki?

Soma zaidi....

Usafirishaji wa vitu vya kale

Nini hukumu ya kuuza vitu vya kale au vitu vingine vinavyopatikana, na kuvifanyia biashara kwa ujumla?

Soma zaidi....

Ukiritimba

Ni ipi adhabu ya kuzuia bidhaa zenye ruzuku na kuziuza katika soko la ulanguzi?

Soma zaidi....

Muamala na benki

Ni ipi hukumu ya kukodisha nyumba maalumu kwa Benki?

Soma zaidi....