Ni ipi hukumu ya Sharia ya Kiislamu kuhusu mavazi ya mwanamke na hukumu ya kudhihirisha nyewele zake?
Soma zaidi....
Kwanza: Ni nini hukumu ya kuvaa suruali iliyobana kwa mwanamke?
Pili: Ni yapi masharti ya lazima yanayotakikana kwa mavazi ya mwanamke katika Sharia ya Kiislamu? Na ni sehemu zipi zinazoruhusiwa kuonekana katika mwili wa mwanamke?
Tatu: Ni ipi hukumu au adhabu ya kuvunja masharti na vidhibiti vya mavazi ya mwanamke?
Nne: Ni nini hukumu ya mwanamke kuweka mapambo na (Make up), uturi wakati anapotoka nje ya nyumba yake hata kwa muda mchache?
Soma zaidi....
Je, inapaswa kwa mwanamke Muislamu kuvaa nguo za rangi za giza na kuepuka rangi ang’avu kama nyekundu, ya manjano na nguo zenye michoro ya maua?
Soma zaidi....
Je, ni ipi hukumu ya kisheria kuhusu kutumia Masanamu yaliyo uchi katika vyuo vya sanaa, ambapo huchorwa au kutengenezwa sanamu ya mtu aliye uchi kabisa — iwe ni mwanaume au mwanamke aliyeacha kufunika sehemu za siri — au nusu uchi kwa kisingizio cha kujifunza uwiano wa mwili wa binadamu au kuhisi maumbo yake? Je, inaruhusiwa kutumia masanamu inayofananishwa na mwanadamu aliye uchi kwa madhumuni haya, au ni haramu?
Soma zaidi....
Je, inatakiwa kwa mwanamke kuficha sehemu inayozunguka chini ya kidevu hadi shingo kwa kuzingatia kuwa si sehemu ya uso, au ni sehemu ya uso inayoruhusiwa kufichuliwa? Tunaomba hukumu ya hilo katika hali ya sala na nje ya sala!
Soma zaidi....
Arabic
Englsh
French
Deutsch
Urdu
Pashto
Hausa
