Hukumu ya kubadilisha nia kutoka Swala ya faradhi kwenda Sunna au kinyume

Ni ipi hukumu ya kubadilisha nia katika Swala kutoka faradhi kwenda Sunna au kinyume?

Soma zaidi....

Kuwafundisha watoto wa kike kuswali

Je, inajuzu watoto waswali bila ya kutia udhu wala kuvaa hijabu kwa watoto wa kike wakiwa wanafundishwa Swala?

Soma zaidi....

Kusoma Basmala kwa sauti mwanzoni mwa sura ya Al-Fatiha katika Swala

Ni ipi hukumu ya kusoma Basmala kwa sauti mwanzoni mwa Sura ya Al-Fatiha katika Swala? 

Soma zaidi....

Hukumu ya kumswalia Mtume (S.A.W.) baada ya adhana

Ni ipi hukumu ya kumswalia Mtume (S.A.W.) baada ya adhana?

Soma zaidi....

Kukidhi mahitaji ya watu masikini kutokana na mali za zaka

Ni nini hukumu ya kukidhi mahitaji ya watu masikini ya nyama na kuku kutokana na mali za zaka?

Soma zaidi....

Yasemwayo katika sijida ya kushukuru

Husemwa nini katika sijda ya kushukuru na sijda ya kusahau?

Soma zaidi....

Kumpa zaka mtu mwenye madeni

Ni ipi hukumu ya kumpa zaka mtu mwenye madeni?

Soma zaidi....

Kukusanya Swala

Je! Kunajuzu kukusanya Swala kwa udhuru?

Soma zaidi....

Twahara ya mwenye kisalisali cha mkojo na Swala yake

Muulizaji hutokwa na vimkojo baada ya kutawadha na katika Swala, na anauliza: Je! Atawadhe tena na Swala? Na akisoma Qur`ani nje ya Swala na akatokwa na vimkojo, Je! Aendelee kusoma?

Soma zaidi....

Kulipa Swala zilizokupita ni kwa haraka au muda baada ya muda

Umenipita muda mrefu si swali, kisha nikatubu kwa Mwenyezi Mungu, nataka kulipa Swala hizi, je! nazilipaje?

Soma zaidi....

Kukosa Swala ya Alfajiri kwa kulala

Ni ipi hukumu kukosa Swala ya Alfajiri kwa kulala?

Soma zaidi....

Pesa za fidia kwa mtu aliyekufa na kulazimika kufunga kwa sababu ya ugonjwa

Je, inajuzu kulipa fidia kutoka kwa aliyekufa na inabidi kufunge kutokana na maradhi?

Soma zaidi....

Kuweka wazi miguu wakati wa Swala kwa mwanamke

Ni ipi hukumu ya mwanamke kuweka wazi miguu yake wakati wa swala?

Soma zaidi....

Kutoa zaka kwa wagonjwa

Je, inajuzu kutumia zaka kwa wagonjwa wenye matatizo ya figo, uvimbe, na magonjwa sugu ya damu ambao wanahitaji mifuko ya damu ambayo hawawezi kumudu?

Soma zaidi....